Paps Mkare

KOCHA WA MALKIA STRIKERS AMPENDEKEZEA NAIBU SPIKA MSWADA WA KULINDA WACHEZAJI

Kocha mkuu wa kikosi cha kinadada Malkia Strikers mwite Paul Bitok hapo jana alifanya mazungumzo na naibu spika wa bunge la kitaifa Gladys Sholei, mazungumzo yaliyolenga kupeleka misuada bungeni ya kulinda wachezaji wanaotumikia taifa hili na kuletea mafainikio mengi kuanza kulipwa malipo ya uzeeni wachezaji hao wanapo staafu. Mkutano huo unafanyika baada ya Paul Bitok […]

KOCHA WA MALKIA STRIKERS AMPENDEKEZEA NAIBU SPIKA MSWADA WA KULINDA WACHEZAJI Read More »

HIMIZO LATOLEWA KWA GAVANA WA TAITA TAVETA KUZINGATIA MAONI YA WANANCHI

Mwakilishi wa wadi ya Mahoo eneo bunge la Taveta kaunti ya Taita Taveta Daniel Kimuyu ametoa wito kwa serikali ya kaunti hiyo kuwahusisha wenyeji katika masuala ya mpangilio wa miradi, CIDP. Kimuyu ametoa wito kwa gavana wa kaunti hiyo Andrew Mwadime kuhakikisha maon I ya wenyeji yanazingatiwa wakati wa utekelezaji wa mpango huo. Anadai kuwa

HIMIZO LATOLEWA KWA GAVANA WA TAITA TAVETA KUZINGATIA MAONI YA WANANCHI Read More »