KOCHA WA MALKIA STRIKERS AMPENDEKEZEA NAIBU SPIKA MSWADA WA KULINDA WACHEZAJI
Kocha mkuu wa kikosi cha kinadada Malkia Strikers mwite Paul Bitok hapo jana alifanya mazungumzo na naibu spika wa bunge la kitaifa Gladys Sholei, mazungumzo yaliyolenga kupeleka misuada bungeni ya kulinda wachezaji wanaotumikia taifa hili na kuletea mafainikio mengi kuanza kulipwa malipo ya uzeeni wachezaji hao wanapo staafu. Mkutano huo unafanyika baada ya Paul Bitok […]
KOCHA WA MALKIA STRIKERS AMPENDEKEZEA NAIBU SPIKA MSWADA WA KULINDA WACHEZAJI Read More »



