AMINA MOHAMED APEANA MIKOBA KWA ABABU NAMWAMBA.
Balozi Amina Mohamed waziri anayeondoka kwenye wizara ya michezo mchana wa leo akipeana mikoba kwa waziri mpya Ababu Namwamba amemtakia kila laheri katika majukumu yake mapya akisema kwamba anaimani Ababu anauwezo wa kutekeleza ajenda zote alonazo pamoja na kuimarisha michezo hapa nchini Kwa upande wake Ababu Namwamba ambaye anarejea katika wizara hiyo kwa mara ya […]
AMINA MOHAMED APEANA MIKOBA KWA ABABU NAMWAMBA. Read More »



