VISA VYA UHALIFU VINAENDELEA KUSHUHUDIWA KISAUNI
Ongezeko la uhalifu unaotekelezwa na vijana kaunti ya mombasa umechochea mkutano kati ya maafisa wa usalama, viongozi na wahudumu wa bodaboda kutoka mitaa ya kisauni na mtopanga. Mkutano huo umeafikia kuwa wahalifu na wazazi wao wakamatwe ili kuleta uwajibikaji na kukomesha uhalifu. Mbunge wa Kisauni Rashid Bedzimba amesisitiza haja ya wazazi hao kuchukuliwa hatua kwani […]
VISA VYA UHALIFU VINAENDELEA KUSHUHUDIWA KISAUNI Read More »



