MESSI NA RONALDO KUCHEZA KOMBE LA DUNIA KWA MARA YA MWISHO
Mashindano ya kombe la dunia mwaka huu kule QATAR yanatarajiwa kuwa ya mwisho kwa nguli wawili wa soka katika dunia ya sasa ambao ni Messi na Ronaldo ambao kulingana na semi zao za awali huenda wasishiriki mashindano ya kombe la dunia baada ya haya ikizingatiwa kwamba umri utakuwa umekwenda. Ronaldo atakuwa na umri wa 41 […]
MESSI NA RONALDO KUCHEZA KOMBE LA DUNIA KWA MARA YA MWISHO Read More »


