Paps Mkare

MESSI NA RONALDO KUCHEZA KOMBE LA DUNIA KWA MARA YA MWISHO

Mashindano ya kombe la dunia mwaka huu kule QATAR yanatarajiwa kuwa ya mwisho kwa nguli wawili wa soka katika dunia ya sasa ambao ni Messi na Ronaldo ambao kulingana na semi zao za awali huenda wasishiriki mashindano ya kombe la dunia baada ya haya ikizingatiwa kwamba umri utakuwa umekwenda. Ronaldo atakuwa na umri wa 41 […]

MESSI NA RONALDO KUCHEZA KOMBE LA DUNIA KWA MARA YA MWISHO Read More »

ZAIDI YA FAMILIA 4,000 TAITA TAVETA KUNUFAIKA NA CHAKULA CHA MSAADA

Mshirikishi wa shirika la msalaba mwekundu kanda ya pwani Hassan Musa amesema zaidi ya familia elu 4 kaunti ya Taita Taveta zinatarajiwa kunufaika na chakula cha msaada kutoka kwa wafadhili mbalimbali kupitia shirika hilo. Akizungumza mjini Voi, Hassan amesema shirika la msalaba mwekundu linashirikiana na serikali ya kaunti ya Taita Taveta na ya kitaifa ili

ZAIDI YA FAMILIA 4,000 TAITA TAVETA KUNUFAIKA NA CHAKULA CHA MSAADA Read More »