Paps Mkare

PIGO KWA MTG UNITED FKF IKIBATILISHA LIGI YA MSIMU WA 2021/2022

Klabu ya kaunti ya Kilifi Moving The Goalpost United imepata pigo baada ya shirikisho la soka nchini FKF kubatilisha msimu wa 2021/2022 na kusema kwamba hakuna klabu itapanda ama kushuka daraja. MTG United ilikuwa imepanda daraja baada ya kuinyuka Gideon Starlets FC kwenye uwanja wa Nakuru mwezi Julai 24, 2022. Pande zote mbili zilimaliza kwenye

PIGO KWA MTG UNITED FKF IKIBATILISHA LIGI YA MSIMU WA 2021/2022 Read More »

HUDUMA ZA MATIBABU ZATARAJIWA KUIMARIKA KAUNTI YA TAITA TAVETA

Mikakati mbalimbali inapoendelea kuwekwa na serikali ya kaunti ya Taita Taveta ili kuimarisha maisha ya wenyeji hasa kwenye idara ya afya, tayari mawaziri 6 wa kaunti hiyo wamekabidhiwa ofisi rasmi. Miongoni mwao ni waziri wa afya Gifton Mkaya ambaye amekabidhiwa ofisi hiyo na aliyekuwa waziri wa afya John Mwakima, wakazi wakiwa na matarajio mengi kwa

HUDUMA ZA MATIBABU ZATARAJIWA KUIMARIKA KAUNTI YA TAITA TAVETA Read More »