Janet Mumbi

SERIKALI YA LAMU NA YA KITAIFA ZASHIRIKIANA KUPEANA CHAKULA CHA MSAADA

Sehemu nyingi nchini zinapoendelea kukabiliwa na makali ya njaa na ukame serikali ya kaunti ya Lamu ikishirikiana na serekali kuu zimeanzisha mpango wa kupeana na chakula cha msaada kwa familia elfu kumi na mbili katika kaunti ya Lamu. Kutokana na hali hiyo, Vijiji ambavyo vinavyolengwa ni pamoja na Bargoni, Basuba, Kiunga, Kiongwe, Lumshi, maisha Masha, […]

SERIKALI YA LAMU NA YA KITAIFA ZASHIRIKIANA KUPEANA CHAKULA CHA MSAADA Read More »

KONGAMANO LA KUJADILI UUNDAJI SERA ZINAZOLENGA KULETA USAWA WA KIJINSIA UNAENDELEA MOMBASA

Wajumbe kutoka mataifa ya Afrika Mashariki pamoja na Ethiopia wamekongama Mombasa kwa warsha ya kujadili uundaji sera zinazolenga kuleta usawa wa kijinsia miongoni mwa wasichana na wanawake. Warsha hiyo ya siku mbili inajumuisha mashirika ya kutetea haki za wanawake na kukomesha dhuluma dhidi ya wasichana. Mjumbe wa bunge la kaunti ya Mombasa Milcah Moraa Ngare

KONGAMANO LA KUJADILI UUNDAJI SERA ZINAZOLENGA KULETA USAWA WA KIJINSIA UNAENDELEA MOMBASA Read More »