Janet Mumbi

WAZAZI ENEO LA MSAMBWENI WAENDELELEA KUHIMIZWA KUWA KARIBU NA WATOTO WAO

Naibu kamishna wa eneo bunge la Msambweni kaunti ya Kwale Kipkoech Lotiatia amewataka wazazi eneo hilo kuwalinda watoto wao msimu huu wa likizo ndefu ya mwezi wa Disemba. Lotiatia amesema ni vyema kwa wazazi kuwa karibu na watoto wao ili kuwalinda dhidi ya kushawishika kutumia dawa za kulevya na mambo mengine maovu ambayo huenda yakawaathiri […]

WAZAZI ENEO LA MSAMBWENI WAENDELELEA KUHIMIZWA KUWA KARIBU NA WATOTO WAO Read More »

GAVANA MUNG’ARO APANIA KUZURU KILA ENEO BUNGE KAUNTI YA KILIFI

Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Maitha Mung’aro amesema anapania kuzuru kila eneo bunge kaunti ya Kilifi kama njia moja ya kuwahudumia wenyeji kwa urahisi. Amesema mpangao huo utaanza kutekelezwa kuanzia mwaka ujao wa 2023 ili kuwapunguzia wenyeji wa kaunti ya Kilifi gharama ya kuzuru kwenye afisi yake kila wanapotaka huduma mbalimbali. Mung’aro pia ameahidi

GAVANA MUNG’ARO APANIA KUZURU KILA ENEO BUNGE KAUNTI YA KILIFI Read More »

Максим Криппа о секретах хорошей формы или “стартап

Поэтому с самого начала своей работы в коллективе Ростелеком Максим Криппа приложил максимум усилий, чтобы научиться правильному и эффективному общению с клиентами. Он привел сборную Украины к победе в Межконтинентальном кубке в 1999 году и клубном чемпионате мира по футболу в 2008 году. Благодаря его профессионализму и мотивации планка Криппа Макс качества танцевания в Украине

Максим Криппа о секретах хорошей формы или “стартап Read More »