Janet Mumbi

RUWEIDA OBO AISHINIKIZA SERIKALI KUU KWA USHIRIKIANO NA YA KAUNTI YA KILIFI KUWEKA LAMI BARABARA YA MTANGAWANDA – KIZINGITINI

Mbunge wa Lamu Mashariki kaunti ya Lamu, Ruweida Obo ameishinikiza serikali ya kitaifa kwa ushirikiano na serikali ya kaunti kuweka lami kwenye barabara ya Mthangawanda – kizingitini katika kisiwa cha Pate. Obo amesema kuwa eneo hilo limesalia nyuma kimaendeleo kutokana na kukosa miundo msingi muhimu jambo lililochochea shikizo hizo. Mbunge huyo aidha amemhimiza gavana wa […]

RUWEIDA OBO AISHINIKIZA SERIKALI KUU KWA USHIRIKIANO NA YA KAUNTI YA KILIFI KUWEKA LAMI BARABARA YA MTANGAWANDA – KIZINGITINI Read More »

IDADI KUBWA YA KINA MAMA YADAIWA KUTOHUDHURIA VIKAO VYA KUTOA MAONI

Idadi kubwa ya akina mama kaunti ya Kilifi inadaiwa kutohudhuria vikao vya kutoa maoni kuhusiana na miradi ya serikali ya kaunti, kutokana na kile ambacho kinadiwa nakala zinazotumika katika vikao hivyo huchapishwa kwa lugha ya kingereza. Haya ni kwa mujibu wa mwanaharakati wa kutetea haki za watoto pamoja na wanawake kaunti ya Kilifi, Helda Lamek

IDADI KUBWA YA KINA MAMA YADAIWA KUTOHUDHURIA VIKAO VYA KUTOA MAONI Read More »