Janet Mumbi

WAFANYABIASHARA WA MIRAA KAUNTI YA MOMBASA WAONYWA

Gavana wa Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir amewaonya wafanyibiashara wote wa miraa kaunti ya mombasa kuhakikisha kuwa hawafanyibiashara hizo karibu na taasisi za kielimu. Akizungumza katika sherehe za Jamhuri kwenye bustani ya Mamangina kaunti hiyo ya Mombasa Nassir amesema vijana wengi wenye umri mdogo wameishia kuwa waraibu wa bidhaa hiyo licha ya kuwa wao bado ni […]

WAFANYABIASHARA WA MIRAA KAUNTI YA MOMBASA WAONYWA Read More »

HIMIZO LATOLEWA KWA WAZAZI ENEO LA HINDI KUFUATILIA MIENENDO YA WATOTO WAO

Afisa ambaye anashughulikia masuala ya dhuluma za kijinsia kwenye kituo cha Polis cha Hindi kaunti ya Lamu Esther Jeffa ametoa wito kwa wazazi eneo hilo kufuatilia mienendo ya watoto wao hasa wakati huu wako kwenye likizo ndefu ya mwezi Disemba. Amesema wazazi wanapaswa kuwa karibu na watoto wao ili kuwadhibiti dhidi ya visa vya dhuluma

HIMIZO LATOLEWA KWA WAZAZI ENEO LA HINDI KUFUATILIA MIENENDO YA WATOTO WAO Read More »

GAVANA DHADHO GODHANA APONGEZA KONGAMANO LA NNE LA UCHUMI WA RASLIMALI ZA BAHARINI

Gavana wa kaunti ya Tana River Dhadho Godhana amesema kongamano la nne la uchumi wa raslimali za baharini limekuwa lenye manufaa mengi. Kulingana na Dhadho kongamano hilo la siku tatu ambalo lilikamilika siku ya Jumamosi eneo la Hola kaunti ya Tana River limewavutia washiriki wa kitaifa na kimataifa. Amesema kongamano hilo limetoa fursa nzuri za

GAVANA DHADHO GODHANA APONGEZA KONGAMANO LA NNE LA UCHUMI WA RASLIMALI ZA BAHARINI Read More »