IDADI NDOGO YA WENYEJI WA SHELLA KAUNTI YA KILIFI YAJITOKEZA KWENYE KIKAO CHA WANANCHI KUTOA MAONI
Idadi kubwa ya wanajamii katika wadi ya Shella mjini Malindi kaunti ya Kilifi wamenyooshewa kidole cha lawama kwa kususia kikao cha wananchi kutoa maoni yao, kuhusiana muongozo wa utendakazi wa serikali ya kaunti ya Kilifi katika hatamu yake ya uongozi wa miaka mitano. Kwa mujibu wa msimamizi wadi hiyo ya Shella Zamzam Mohammed, huenda matakwa […]



