Janet Mumbi

MBUNGE WA MALINDI AMINA MNYAZI ATANGAZA NAFASI ZA UFADHILI WA MASOMO

Afisi ya mbunge wa Malindi kaunti ya Kilifi Amina Mnyazi, imetangaza kuwepo kwa nafasi elfu moja za ufadhili wa masomo ya kozi mbalimbali za kibiashara kupitia mitandao. Kulingana na mbunge huyo kuna umuhimu mkubwa kwa wananchi katika eneo la Malindi kaunti ya Kilifi, kuthamini masomo hayo kupitia kwa mitandaoili kuboresha viwango vya elimu eneo bunge […]

MBUNGE WA MALINDI AMINA MNYAZI ATANGAZA NAFASI ZA UFADHILI WA MASOMO Read More »

GAVANA ABDULSWAMAD SHARIF NASSIR APANIA KUFANYA UKAGUZI KUBAINI WAFANYIKAZI HEWA MOMBASA

Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir, anapanga kufanya ukaguzi ili kubaini wafanyikazi halali walioajiriwa na serikali ya kaunti ya Mombasa. Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa maabara ya kidijitali ya BIONEAR, katika ukumbi wa Treasury Square kaunti ya Mombasa, Nassir amesema kuna baadhi wafanyikazi hewa ambao wanalipwa mshahara kila mwezi na serikali ya

GAVANA ABDULSWAMAD SHARIF NASSIR APANIA KUFANYA UKAGUZI KUBAINI WAFANYIKAZI HEWA MOMBASA Read More »

BUNGE LA KAUNTI YA KWALE LAPITISHA BAJETI YA ZIADA YA SHILINGI MILIONI 25

Bunge la kaunti ya Kwale limepitisha bajeti ya ziada ya shilingi milioni 25, zitakazotumika kuboresha huduma katika hospitali ya rufaa ya Msambweni. Mwakilishi wa wadi ya Ramisi kaunti ya Kwale, Hanifah Mwajirani amesema fedha hizo zinalenga kuimarisha shughuli za utoaji matibabu katika hospitali hiyo. Mwajirani ambaye pia ni kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti

BUNGE LA KAUNTI YA KWALE LAPITISHA BAJETI YA ZIADA YA SHILINGI MILIONI 25 Read More »