WIZARA YA USALAMA WA NDANI YATAKIWA KUINGILIA KUWAKABILI VIJANA WANAOJIHUSISHA NA UHALIFU KAUNTI YA KWALE
Baraza la madhehebu mbalimbali katika kaunti ya Kwale limetoa wito kwa wizara ya usalama wa ndani kulishughulikia suala la visa vya uhalifu ambavyo vinaendelea kutekelezwa na vijana wenye umri mdogo eneo hilo. Likiongozwa na Hamisi Mwachirumu wanasema hali hiyo imechangia kwa wenyeji kuishi kwa hofu. Vilevile, amesema visa hivyo vya uhalifu vimeathiri shuguli za kibiashara […]



