HOSPITALI ZA KAUNTI YA KILIFI ZAPOKEA VIFAA VYA MATIBABU
Ni afueni kwa Hospitali za kaunti ya Kilifi baada ya Serikali ya kaunti ya Kilifi kupokea vifaa zaidi vya matibabu kutoka kwa serikali ya Hungary. Akizungumza baada ya kutoa ufadhili wa vifaa hivyo, Balozi wa Hungary Nchini Kenya Zsolt Meszaros amesema vifaa hivyo vimegharimu takriban shillingi millioni tano na vitsaidia zaidi katika sekta ya maabara […]
HOSPITALI ZA KAUNTI YA KILIFI ZAPOKEA VIFAA VYA MATIBABU Read More »



