Elementor #39414
lulufm
Waziri wa michezo Ababu Namwamba amethibitisha kuwa kaunti ya Kakamega kutoka mkoa wa Magharibi ndio itakuwa wenyeji wa mashindano ya kombe la mataifa bingwa afrika maarufu kama Chan huku uwanja wa Bukhungu ukiwa kati ya viwanja ambavyo vinatarajiwa kutumika. Kwa sasa uwanja huo unafanyiwa ukarabati kwa ajili ya mashindano hayo makubwa ambayo yanatarajiwa kuanza rasmi
KENYA YAJIPANGA KWA CHAN MWEZI SEPTEMBA Read More »
Ni rasmi sasa Alex Mwalimu ni mchezaji mpya wa klabu ya MOFA inayomilikiwa na mshambuliaji pamoja na nahodha wa timu ya taifa Michael Olunga. Alex ametia saini mkataba wake mchana wa leo huko Homa Bay ambako ndio makazi ya klabu ya MOFA inayoshiriki katika ligi ya daraja la kwanza kitaifa. Awali Alex alikuwa ameeleza matumaini
ALEX MWALIMU ASAJILIWA MOFA Read More »