HABARI

WAKENYA WASIFIWA KUWA WAFANYAKAZI BORA KATIKA MATAIFA YA ULIMWENGU.

Rais William Ruto amesema kuwa kuna haja ya taifa la Kenya kuwekeza zaidi katika elimu ya taaluma ambazo, huhitajika katika ajira za mataifa ya ulimwengu. Kulingana na Rais, Kenya ina idadi kubwa ya watu walio na uwezo wa kufanya kazi mbali mbali ulimwengini na kwa mda sasa taifa hili, limekuwa likisifiwa kwa kuwa na wafanyakazi […]

WAKENYA WASIFIWA KUWA WAFANYAKAZI BORA KATIKA MATAIFA YA ULIMWENGU. Read More »

WAHANDISI WAONYWA DHIDI YA KUPINGA UTEUZI WA AISHA JUMWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA BARABARA.

Mchanganuzi wa masuala ya kisiasa mjini Malindi kaunti ya Kilifi, Kenza Ondiek ameutaka muungano wa wahandisi nchini, kukoma kupinga uteuzi wa Aisha Jumwa, kuwa mwenyekiti wa bodi ya barabara, kwa madai ya kutokuwa na tajiriba hitajika. Kulingana na Ondiek, uteuzi wa Jumwa ni njia mojawapo ya serikali ya Kenya kwanza, kumpongeza kwa juhudi zake za

WAHANDISI WAONYWA DHIDI YA KUPINGA UTEUZI WA AISHA JUMWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA BARABARA. Read More »

KENYA YATARAJIWA KUATHIRIKA NA MAAMUZI YA TAIFA LA MAREKANI.

Taifa la Kenya linatarajiwa kubadilisha makadirio ya bajeti yake katika siku za usoni, ili kuziba mianya kwenye wizara ya afya, ambayo huenda ikashuhudiwa baada ya Marekani, kubadilisha sheria zake za ufadhili wa mataifa ya Afrika. Kulingana na katibu anaye husika na masuala ya matibabu katika wizara ya afya nchini Harry Kimtai, tayari serikali kuu imeanzisha

KENYA YATARAJIWA KUATHIRIKA NA MAAMUZI YA TAIFA LA MAREKANI. Read More »