VYUO VIKUU NCHINI VYATAKIWA KUSHIRIKIANA NA MATAIFA YA KIGENI ILI KUBORESHA SHUGHULI ZA MASOMO.
Katibu wa Elimu ya Juu na Utafiti kwenye wizara ya elimu nchini Dkt. Beatrice Inyangala, amekipongeza Chuo Kikuu cha Taita Taveta, kwa ubora wake wa kitaaluma na ushirikiano na mataifa ya kigeni. Kulingana na katibu huyo, kuna haja ya vyuo vikuu nchini kutambua changamoto zake na kushirikisha wizara hiyo, katika kutafuta wafadhili wa kuwasaidia kukabiliana […]



