HABARI

IDADI YA WANAONAWA MKONO KAUNTI YA TANA RIVER IKO CHINI

Mkurugenzi mtendaji katika sekta ya afya kaunti ya Kilifi Hassan Leli amesema uoshaji mikono kaunti ya Kilifi iko katika asilimia 69. Akizungumza na wanahabari kwenye shule ya msingi ya Chasimba iliyoko wadi ya Chasimba eneo bunge la Kilifi Kusini amesema kiwango hicho kiko chini na kuwahimiza wakaazi wa kaunti ya Kilifi kuchukua jukumu la kunawa […]

IDADI YA WANAONAWA MKONO KAUNTI YA TANA RIVER IKO CHINI Read More »

MRADI WA UTOAJI CHAKULA KWA SHULE ZA CHEKECHEA KUANZISHWA TANA RIVER

Afisa mkuu wa idara ya elimu katika serikali ya kaunti ya Tana River Fatuma Bona Gafo wataendeleza mradi wa utoaji chakula kwa shule za chekechea baada ya kukwama kwa muda tangu ujio wa janga la virusi vya Corona nchini. Bona amesema tayari sera zimebuniwa kwa elimu ya chekechea ambazo zitatoa muongozo bora katika shule hizo

MRADI WA UTOAJI CHAKULA KWA SHULE ZA CHEKECHEA KUANZISHWA TANA RIVER Read More »

ANISA ABDALLA ASEMA MBINU YA UKUZAJI VYAKULA KUPITIA MBINU YA GMO ITAANGAZIWA

Mwenyekiti wa maonyesho ya Kilimo kanda ya pwani Anisa Abdalla amesema mbinu ya ukuzaji vyakula kupititia kisayansi GMO itaangaziwa wakati wa maonyesho ya kilimo ya mwaka huu katika kaunti ya Mombasa. Kauli yake inajiri kufuatia madai kuwa mbinu hiyo itachangia kwa wananchi kukumbwa na madhara mbalimbali kama kuugua ugonjwa wa saratani hali ambayo inaendelea kuibua

ANISA ABDALLA ASEMA MBINU YA UKUZAJI VYAKULA KUPITIA MBINU YA GMO ITAANGAZIWA Read More »