SERIKALI KUU YATAKIWA KUFIKISHA FEDHA ZA KUFANIKISHA MASOMO YA CBC
Mwenyekiti muungano wa walimu KNUT tawi la kilindini kaunti ya Mombasa Ahmed Kombo Ahmed amesema kuna haja ya serikali kufikisha fedha za kufanikisha masomo ya mfumo mpya wa elimu wa umilisi CBC kwa haraka ili kuhakikisha shule zinafikia malengo. Kombo ametaja kuwa shule nyingi za kibinafsi ndizo zilizofikia vigezo vilivyowekwa na serikali kwa mujibu wa […]
SERIKALI KUU YATAKIWA KUFIKISHA FEDHA ZA KUFANIKISHA MASOMO YA CBC Read More »



