SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA INAWEKEZA KUWAWEZESHA VIJANA WANAOZOA TAKA
Naibu gavana wa kaunti ya Mombasa Francis Thoya amesema serikali ya kaunti hiyo itawekeza zaidi katika kuwawezesha vijana ambao wanazoa taka ili wanaufaike. Kulingana na Thoya kuna makundi mbalimbali ya vijana katika kaunti ya Mombasa ambao wanafanya kazi ya kuzoa taka na makundi hayo yanapaswa kuwezeshwa ili kunufaika kimapato. Akizungumza huko Shanzu baada ya kukutana […]
SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA INAWEKEZA KUWAWEZESHA VIJANA WANAOZOA TAKA Read More »



