HABARI

GAVANA ANDREW MWADIME AWEKA MIKAKATI KUWAKABILI WAFANYIKAZI HEWA TAITA TAVETA

Serikali ya kaunti ya Taita Taveta inaendelea kufanya ukaguzi kwa madereva wanaofanya kazi katika kaunti hiyo kwa minajili ya kujua idadi yao kamili jambo litakalowezesha serikali hiyo kuwatambua wafanyikazi hewa. Akizungumza kabla ya kuanzishwa kwa ukaguzi huo ambao haukufanyika tu kwa madereva lakini pia idadi kamili ya magari yanayomilikiwa na kaunti, gavana wa Taita Taveta […]

GAVANA ANDREW MWADIME AWEKA MIKAKATI KUWAKABILI WAFANYIKAZI HEWA TAITA TAVETA Read More »

AMINA MNYAZI AWATAKA WAKENYA KUENDELEA KUPINGA UHALALISHAJI WA MAPENZI YA WATU WA JINSIA MOJA

Mbuge wa Malindi kauntI ya Kilifi Amina Mnyazi amesema anapinga mapenzi ya watu wa jinsia moja nchini. Akizungumza bungeni alipokuwa akichangia muswada ambao ulikuwa umewasilishwa bungeni kupinga uhalalishaji wa Ushoga na Usagaji nchini, Mnyazi amesema mila na tamaduni za kiafrika, dini na katiba ya nchi haziruhusu Mapenzi ya jinsia Moja na ni suala ambalo linapaswa

AMINA MNYAZI AWATAKA WAKENYA KUENDELEA KUPINGA UHALALISHAJI WA MAPENZI YA WATU WA JINSIA MOJA Read More »

MRADI WA SAN MARKO ULIOKO NGOMENI KAUNTI YA KILIFI KUBORESHA UHUSIANO MWEMA BAINA YA KENYA NA ITALIA

Serikali kuu imesema ipo haja ya wakenya kunufaika na mradi wa serikali ya Italia wa San Marko, ulioko katika eneo la Ngomeni eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi. Kulingana na Waziri wa ulinzi nchini Aden Duale, licha ya mradi huo kuboresha uhusiano kati ya mataifa hayo mawili, juhudi zaidi zinapaswa kuwekwa ili kuhakikisha wanafunzi

MRADI WA SAN MARKO ULIOKO NGOMENI KAUNTI YA KILIFI KUBORESHA UHUSIANO MWEMA BAINA YA KENYA NA ITALIA Read More »