HABARI

ODEGAARD NA JESUS WAIPAISHA ARSENAL USHINDI WA 3-1 DHIDI YA CHELSEA

Magoli mawili ya Martin Odegaard na moja la Gabriel Jesus yametosha kuwapa Gunners ushindi ugani emirates usiku wa kuamkia leo. Odegaard raia wa Norway aliwapa Arsenal uongozi wa mechi hiyo kwa kucheka na wavu dakika ya 18 kabla ya kuongeza goli la pili kunako dakika ya 31. Dakika tatu baadae Gabriel Fernando de Jesus aliwapa […]

ODEGAARD NA JESUS WAIPAISHA ARSENAL USHINDI WA 3-1 DHIDI YA CHELSEA Read More »

MCHUNGAJI EZEKIEL ODERO AWASILISHA OMBI LA MAHAKAMA KUTOMZUIA KWA SIKU 30.

Mawakili wanaomuwakilisha mchungaji wa kanisa la new life prayer centre, Mavueni,Ezekiel Odero kaunti ndogo ya Kilifi kaskazini kaunti ya Kilifi wamewasilisha ombi kwenye mahakama ya Shanzu la kuzuilia mahakama dhidi ya kutoa uamuzi wa kutoachiliwa kwa mchungaji huyo. Wakizungumza nje ya mahakama hiyo hii leo wakiongozwa na Danstan Omari, mawakili hao wametaka mahakama kuwasikiliza na

MCHUNGAJI EZEKIEL ODERO AWASILISHA OMBI LA MAHAKAMA KUTOMZUIA KWA SIKU 30. Read More »

MAHAKAMA YA MALINDI KAUNTI YA KILIFI YAMUACHILIA MCHUNGAJI TATA PAUL MACKENZIE.

Mahakama ya Malindi kaunti ya Kilifi imemuachilia huru mhubiri tata Paul Mackenzie na washtakiwa wengine 8 waliokuwa wameshitakiwa pamoja naye. Jaji wa mahakama hiyo Ivy Wasike, ambaye pia ni naibu msajili wa mahakama hii  ya Malindi, amesema kuwa mahakama haina uwezo wa kuwapa dhamana washukiwa hao na kisha kufunga mashtaka yanayowakabili washtakiwa hao. Hii ni baada ya upande wa

MAHAKAMA YA MALINDI KAUNTI YA KILIFI YAMUACHILIA MCHUNGAJI TATA PAUL MACKENZIE. Read More »