HABARI

GAVANA WA KAUNTI YA MOMBASA SHARIFF NASSIR APINGA KUHARAMISHWA KWA HAZINA YA NG-CDF NCHINI.

Naibu kinara wa Chama Cha ODM ambaye pia ni gavana wa Kaunti ya Mombasa Abdulswamaad Shariff Nassir, amepinga vikali mapendekezo ya aliyekuwa kinara wa Chama hicho Raila Odinga, kutaka kuondolewa kwa hazina ya maendeleo ya maeneo bunge nchini CDF. Akizungumza katika gatuzi dogo la Jomvu, Nassir amesema hatua hiyo itapunguza juhudi za maendeleo nchini huku […]

GAVANA WA KAUNTI YA MOMBASA SHARIFF NASSIR APINGA KUHARAMISHWA KWA HAZINA YA NG-CDF NCHINI. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO ASIFIA NDOA YAKE NA RAILA ODINGA.

Rais William Ruto amewaonya viongozi katika nafasi mbali mbali kwenye serikali yake, dhidi ya kuendeleza siasa na badala yake kufanya maendeleo. Kulingana Rais, kwa sasa ni wakati wa wananchi kufaidi matunda ya uchaguzi, kupitia kufanikishwa kwa miradi ya maendeleo mashinani. Akizungumza katika ziara yake kule kaunti ya Narok, rais amesisitiza haja ya wakenya, kuungana na

RAIS WILLIAM RUTO ASIFIA NDOA YAKE NA RAILA ODINGA. Read More »

WAFUASI WA KAWIRA MWANGAZA WAPATA MWANGA WA SIASA ZA KIONGOZI WAO.

Aliyekuwa gavana wa kaunti ya Meru, Kawira Mwangaza amesema kuwa atazindua chama chake kitakacho mpatia fursa ya kuwania ugavana wa kaunti hiyo kwa mara nyingine. Kawira ambaye alibanduliwa mamlakani na bunge la kaunti ya Meru, amesema kuwa hatua yake kuwa mgombea huru, ni mojawapo sababu zake kukosa kupata utetezi dhidi ya mswada wa kumuondoa mamlakani

WAFUASI WA KAWIRA MWANGAZA WAPATA MWANGA WA SIASA ZA KIONGOZI WAO. Read More »