HABARI

KIMANZI ANA IMANI NA KIKOSI CHA STARS

Kocha wa muda wa timu ya taifa Fransis Kimanzi anasema yuko na imani kikosi chake kesho kitaandikisha matokeo mazuri dhidi ya Kilimanjaro Boys katika mashindano ya Mapinduzi Cup yanayoendelea Zanzibar. Kulingana na Kimanzi ni kuwa ni licha yamajeruhi machache yaliyopo kikosini bado vijana wameonyesha motisha wa kuzalisha alama tatu hiyo kesho. ”Licha ya majeraha madogomadogo […]

KIMANZI ANA IMANI NA KIKOSI CHA STARS Read More »

WAZAZI KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAO WANAREJEA SHULENI MWAKA HUU 2025.

Wazazi eneo la Kilelengwani kule kaunti ya Tana River wametakiwa kuhakikisha kuwa wanao wanarejea shuleni kwa muhula wa kwanza mwaka huu wa 2025. Akitoa wito huo chifu wa eneo hilo Jilo Mohameed Dhadho, amesema kuwa wazazi wanapaswa kuwarudisha watoto wao maeneo ambayo wamekuwa wakisoma kwani wengi wao walisafiri maeneo ya mbali msimu wa likizo ndefu

WAZAZI KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAO WANAREJEA SHULENI MWAKA HUU 2025. Read More »