VIONGOZI WA DINI YA KIISLAMU WAITAKA SERIKALI YA KITAIFA KUONDOA USHURU WA TENDE MSIMU WA RAMADHAN.
Baraza la maimamu na wahubiri wa kiislamu nchini CIPK sasa linaitaka serikali kuondoa ushuru wa tende, wakati wa mwezi wa ramadhan, unaotarajiwa kuanza mapema mwezi ujao. Kulingana na mwenyekiti wa baraza hilo kitaifa Sheikh Ibrahim Abdallah Ateka, lengo kuu la mataifa ya kiarabu kutuma tende, ni kutoa msaada kwa waumini wa dini hiyo, wasiokuwa na […]



