Kitaifa

RAIS WILLIAM RUTO AENDELEA KUWASUTA WAPINZANI WAKE MLIMA KENYA.

Rais William Ruto amewasuta baadhi ya wapinzani wake katika eneo la Mlima Kenya, kwa madai ya kutaka kuwagawanya wakenya kwa misingi ya ukabila. Kiongozi wa taifa amewaonya wakenya dhidi ya kuhadaiwa na viongozi na kukubali kushiriki siasa za migawanyiko, kwani zitachangia katika kulemaza maendeleo kwa jamii. Akizungumza katika eneo la Mbeere kaunti ya Embu, Rais […]

RAIS WILLIAM RUTO AENDELEA KUWASUTA WAPINZANI WAKE MLIMA KENYA. Read More »

‘MLIMA UNAWENYEWE’ ASEMA GAVANA WA KAUNTI YA NYERI MUTAHI KAHIGA.

Huku rais William Ruto akiendeleza ziara yake katika eneo la Mlima Kenya, viongozi wa eneo hilo wamemtaka kiongozi huyo wa taifa, kufahamu kuwa sio kiongozi mkuu wa siasa za eneo hilo, la Mlima. Wakiongozwa na gavana wa kaunti ya Nyeri, Mutahi Kahiga amesema hatua ya Ruto kuwa kiongozi wa taifa na kuanzisha miradi eneo hilo,

‘MLIMA UNAWENYEWE’ ASEMA GAVANA WA KAUNTI YA NYERI MUTAHI KAHIGA. Read More »