Kitaifa

ASKOFU MKUU WA KATOLIKI ENEO LA PWANI MARTIN KIVUVA AKASHIFU HATUA YA SERIKALI KUCHUKUA MIKOPO.

Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mombasa Martin Kivuva ameelezea wasiwasi wa kenya kushindwa kulipa madeni yake kwa mataifa na mashirika yaliyo toa mikopo kwa taifa hili. Kulingana na Askofu Kivuva, deni la kenya kwa sasa limepita kipimo cha kawaida na hivyo serikali ya kitaifa, inapaswa kweka mpango wa kusitisha shughuli za kuchukua mikopo. Akizungumza katika […]

ASKOFU MKUU WA KATOLIKI ENEO LA PWANI MARTIN KIVUVA AKASHIFU HATUA YA SERIKALI KUCHUKUA MIKOPO. Read More »

GAVANA WA KAUNTI YA KIAMBU APINGA MADAI YA KUSHIRIKI UFISADI.

Gavana wa kaunti ya Kiambu, Kimani Wamatangi amesema kuwa hatua yake kukamatwa na maafisa wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC ni njama ya kumhangaisha na kujumu siasa zake. Kulingana na gavana huyo, alipokea simu kutoka na mmoja wa wanasiasa wakuu katika taifa hili, ambaye aliahidi kumhangaisha iwapo hatakubaliana na matakwa yake.

GAVANA WA KAUNTI YA KIAMBU APINGA MADAI YA KUSHIRIKI UFISADI. Read More »

GACHAGWA AONGOZA MRENGO WA UPINZANI KATIKA KUKASHIFU SERIKALI YA RAIS WILLIAM RUTO.

Viongozi wa upanzani nchini wakiongozwa na aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa, amemsuta rais William Ruto kwa kuchangia matatizo mbali mbali ya wakenya. Kulingana na viongozi hao, tayari wameanza mikakati ya kuhakikisha kuwa wanaungana pamoja na kumuondoa rais William Ruto mamlakani, kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Gachagwa amesema amewataka wakenya kutokubali kuhadaiwa na serikali

GACHAGWA AONGOZA MRENGO WA UPINZANI KATIKA KUKASHIFU SERIKALI YA RAIS WILLIAM RUTO. Read More »