Kitaifa

RAIS WILLIAM RUTO ANGALI KUSIFIA MUUNGANO WAKE NA RAILA ODINGA.

Rais William Ruto amewakashifu pakubwa baadhi ya wapinzani wake, ambao wameendelea kupinga miradi ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu. Akizungumza katika ziara yake kule kaunti ya Kisumu, rais Ruto amempongeza aliyekuwa mpinzani wake mkuu Raila Odinga, kwa kumsaidia katika kuboresha maendeleo ya taifa hasa katika eneo hilo. Rais amewataka wapinzani wake kuto ingiliakati umoja […]

RAIS WILLIAM RUTO ANGALI KUSIFIA MUUNGANO WAKE NA RAILA ODINGA. Read More »

WIZARA YA AFYA YATISHIA KUTOA ORODHA YA HOSPITALI ZILIZO SHIRIKI UFISADI WA NHIF.

Waziri wa Afya Aden Duale ametoa onyo kali kwa vituo bandia vya afya, akisema kuwa hatasita kutoa orodha ya hospitali bandia, ambazo zilishiriki shughuli za ufisadi na iliyokuwa Hazina ya Kitaifa ya Afya (NHIF). Aidha, waziri huyo ameazimia kutekeleza msako dhidi ya matabibu bandia, akitoa wito kwa wadau wote wa sekta ya Afya, kuhudumu kwa

WIZARA YA AFYA YATISHIA KUTOA ORODHA YA HOSPITALI ZILIZO SHIRIKI UFISADI WA NHIF. Read More »

TUME YA EACC YAONYWA DHIDI YA KUTUMIKA KISIASA NA SERIKALI.

Gavana wa kaunti ya Trans Nzoia, George Natembeya amemuonya mkurugenzi mkuu wa tume ya maadili na kukabiliana na ufisadi nchini EACC, Abdi Ahmed Mohamud dhidi ya kukubali kutumika kisiasa na serikali ya kitaifa. Kwa mujibu wa Natembeya tume hiyo inapaswa kutumia mamlaka yake katika kutekeleza haki na usawa dhidi ya wanasiasa wanao kamatwa na maafisa

TUME YA EACC YAONYWA DHIDI YA KUTUMIKA KISIASA NA SERIKALI. Read More »