VIJANA WANAOSAKA AJIRA UGHAIBUNI WAONYWA DHIDI YA UTOVU WA MAADILI.
Waziri wa leba nchini Alfred Mutua amewaonya vijana wanaopata nafasi za ajira mataifa ya nje, dhidi ya kujihusisha na visa vya utovu wa nidhamu, wanapokuwa kazini kule ughaibuni. Kulingana na waziri Mutua, huenda hatua hiyo, ikawasababisha kufutwa kazi na hata kufutiliwa mbali kwa kandarasi zao, sawia na kukabiliwa kisheria. Akizungumza katika kaunti ya Kwale, amesema […]
VIJANA WANAOSAKA AJIRA UGHAIBUNI WAONYWA DHIDI YA UTOVU WA MAADILI. Read More »



