Kaunti

UHABA WA MAJI WADI YA GONGONI ENEO BUNGE LA GONGONI HUENDA UKAPATA SULUHU

Huenda wakaazi wa wadi ya Gongoni eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi wakapata suluhu la kudumu kutokana na uhaba wa maji kupitia afisi ya mwakilishi wa wadi hiyo Stephen Baya. Kulingana na kiongozi huyo, wadi hiyo imekuwa ikikabiliwa na uhaba wa maji na kuwepo kwa barabara mbovu jambo ambalo, amesema ni sharti litatuliwe katika […]

UHABA WA MAJI WADI YA GONGONI ENEO BUNGE LA GONGONI HUENDA UKAPATA SULUHU Read More »

WENYEJI WA KAMALE WANAENDELEA KUKABILIWA NA KIANGAZI NA BAA LA NJAA

Wenyeji wengi katika eneo la Kamale huko Hadu kaunti ndogo ya Magarini kaunti ya Kilifi wanaendelea kuathirika na baa la njaa na ukame kutokana na kiangazi ambacho kinazidi kushuhudiwa katika eneo hilo. Mmoja wa wenyeji hao, Kahindi Ndoro anasema kwa kipindi cha miaka minne hakujashuhudiwa mvua katika eneo hilo hali ambayo imeathiri shughuli za kilimo

WENYEJI WA KAMALE WANAENDELEA KUKABILIWA NA KIANGAZI NA BAA LA NJAA Read More »

WAKULIMA KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUJIANDAA KWA SHUGHULI ZA UPANZI

Wakulima kaunti ya Kilifi wametakiwa kupanda mimea ambayo huchukua mda mfupi kukomaa shambani, kutokana na kuwepo kwa mvua chache ambazo zinatarajiwa kushuhudiwa katika kaunti ya KIlifi. Haya ni kwa mujibu wa idara ya utabiri wa hali ya anga kaunti ya Kilifi, ambayo imeeleza kuwa ipo haja ya wakulima kushirikiana na maafisa wa kilimo nyanjani ili

WAKULIMA KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUJIANDAA KWA SHUGHULI ZA UPANZI Read More »