RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO AMWAGIZA WAZIRI WA KITHURE KINDIKI KUIMARISHA USALAMA
illiam Ruto amemwagiza waziri wa usalama Prof. Kithure Kindiki kuimarisha usalama katikati mwa jiji la Nairobi ambapo wanasiasa wa Azimio wanapanga kufanyaa maandamano kulalamikia kuwang’atuliwa ofisini kwa makamishna watatu wa IEBC. Rais Ruto akisema ni haki kwa upinzani kuandamana, japo akaonya kuhusu uharibifu wa mali. Ni kauli iliyoungwa mkono na naibu rais Rigathi Gachagua ambaye […]
RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO AMWAGIZA WAZIRI WA KITHURE KINDIKI KUIMARISHA USALAMA Read More »



