Kaunti

MUUNGANO WA WANAHABARI UMEANZISHA MRADI WA KUHAMASISHA WAANDISHI WA HABARI

Muungano wa wanahabari nchini Kenya Correspondents Association(KCA), umeanzisha mradi wa kuhamasisha waandishi wa Habari katika kaunti mbalimbali nchini, kuhusu jinsi yakukabiliana na Habari gushi hususan zinazoenezwa mitandaoni. Hatua hii inajiri baada ya ripoti iliyotolewa na shirika linaloshughulikia wanahabari kifungu 19, kuonyesha kuwa asilimia 75 ya wakenya hawawezi kubainisha iwapo, Habari ni sahihi ama ni ghushi. […]

MUUNGANO WA WANAHABARI UMEANZISHA MRADI WA KUHAMASISHA WAANDISHI WA HABARI Read More »

Waziri mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi anatarajiwa kumwakilisha rais William Ruto kwenye mkutano muhimu nchini Uingereza kuanzia hii leo. Kulingana na afisi yake Mudavadi ameondoka nchini hapo jana akielekea Uingereza kuhudhuria mkutano wa kibiashara la mataifa wanachama wa jumuiya ya madola yani common wealth trade and investment summit. Ni mkutano ulioandaliwa na baraza la kibiashara

Read More »

RAILA ODINGA ANGALI ANASHIKILIA MSIMAMO WAKE WA KUANDAA MAANDAMANO

Kinara wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga ameshikilia kuwa jumatano ya wiki hii itakuwa siku ya kuweka wazi mambo yaliyofanyika katika uchaguzi wa Agosti 9 mwaka huu. Akizungumza katika mtaa wa utawala kwenye kampeni za chaguzi ndogo za uwakilishi wadi, Raila amehoji kuwa ni sharti serikali ya Kenya kwanza iwekewe vidhibiti. Raila amesema

RAILA ODINGA ANGALI ANASHIKILIA MSIMAMO WAKE WA KUANDAA MAANDAMANO Read More »