MANCHESTER CITY YATIA GUU MOJA SEMUI FAINALI YA UEFA
Manchester City inayoongozwa na mkufunzi Pep Guardiola imetia guu moja ndani ya semi fainali za uefa msimu huu baada ya kusajili ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya klabu ya Bayern Munich Katika uwanja wao wa nyumbani Etihad. Kiungo mhispania Rodri ndiye alikuwa wa kwanza kuifungia Manchester City kabla ya Bernado Silver kuitendea haki assist ya […]
MANCHESTER CITY YATIA GUU MOJA SEMUI FAINALI YA UEFA Read More »



