Michezo

SULUHISHO LA SOKA LITAPATIKANA HIVI KARIBUNI – ABABU NAMWAMBA

Waziri wa michezo Ababu Namwamba amasema anaimani suluhisho la soka hapa nchini litapatikana hivi karibuni. Hii ni baada ya kuanza mazungumzo na fifa kuona ni jinsi gani marufuku ya fifa itaondolewa ili soka la Kenya la shirikisho la fkf litaanza kutambulika kimataifa. Ababu amehakikishia wadau wote wa soka hapa nchini taratibu zote zitafuata kuona soka […]

SULUHISHO LA SOKA LITAPATIKANA HIVI KARIBUNI – ABABU NAMWAMBA Read More »

GOLDEN STATE WARRIORS NDIO WAKWASI WA NBA KULINGANA NA FORBES

Wabingwa wa msimu uliopita wa mashindano ya NBA Golden State Warriors kule Marekani ndio wamesimama kileleni kwenye orodha ya vilabu vyenye hela ndefu zaidi katika mchezo huo kwa sasa. Kulingana na gazeti rasmi la Forbes ni kuwa Golden State Warriors kama klabu inathamani ya Bilioni 850 pesa za Kenya na sasa wamewapiku New York Knicks

GOLDEN STATE WARRIORS NDIO WAKWASI WA NBA KULINGANA NA FORBES Read More »