KILIFI KUWA WENYEJI WA MAKALA YA TISA YA KYISA MWAKANI
Waziri wa michezo na vijana katika kaunti ya Kilifi mwite Ruth Dama Masha anasema amefurahishwa sana na uamuzi wa wizara ya michezo kitaifa inayoongozwa na waziri Ababu Namwamba kuipa kaunti ya kilifi nafasi ya kuandaa mashindano ya Kenya Youth Inter County Sports makala ya tisa mwakani. Hii ilitokana na ombi la kaunti ya kilifi kuandaa […]
KILIFI KUWA WENYEJI WA MAKALA YA TISA YA KYISA MWAKANI Read More »



