TUTASHIRIKI KLABU BINGWA AFRIKA, TUNASTAHILI – RACHIER
Mwenyekiti wa klabu ya Gor Mahia Ambrose Rachier anasema kwamba ako na imani shirikisho la soka barani afrika Caf litabatilisha uamuzi wake wa kuitoa klabu hiyo katika mashindano ya klabu bingwa barani Afrika pamoja na kuitaka fkf kuinyanganya leseni ya ushirika wa fifa klabu hiyo. Kogalo wamejipata pabaya kutokana na kuchelewa kulipa wachezaji wake wa […]
TUTASHIRIKI KLABU BINGWA AFRIKA, TUNASTAHILI – RACHIER Read More »



