VILABU VYA KPL VYAOMBA UHAKIKA WA MWANZO WA MSIMU MPYA
Mkufunzi wa klabu ya AFC Leopards Patrick Aussems ameomba uongozi wa soka kutoa thibitisho tosha la iwapo msimu mpya wa mwaka 2022/2023 utaanza lini kwani mpaka sasa vilabu vingi viko gizani kuhusiana na mstakabali wa soka nchini Kenya. Amekuwa akiyasema hayo wakati ambapo shirikisho la soka nchini Kenya linasalia kuwa haramu baada ya kuvunjwa na […]
VILABU VYA KPL VYAOMBA UHAKIKA WA MWANZO WA MSIMU MPYA Read More »



