MIKAKATI YAWEKWA NA SERIKALI YA LAMU KUDHIBITI WIZI WA MADAWA KWENYE VITUO VYA AFYA
Serikali ya kaunti ya Lamu inalenga kutumia mfumo wa kidijitali katika vituo vya afya ili kupunguza wizi wa dawa. Gavana wa kaunti hiyo Issa Abdallah Timammy amesema wizi wa dawa umekuwa changamoto kubwa inayokabili idara ya afya kaunti hiyo hali inayodunisha utoaji huduma bora za afya katika kaunti hiyo. Gavana Timammy amesema kuwa mpango huo […]
MIKAKATI YAWEKWA NA SERIKALI YA LAMU KUDHIBITI WIZI WA MADAWA KWENYE VITUO VYA AFYA Read More »


