VUGUVUGU LA UDA KAUNTI YA MOMBASA LAITAKA EACC KUCHUNGUZA MADAI YA UBADHIRIFU WA FEDHAA ZA UMMA
Vuguvugu la chama cha UDA kaunti ya Mombasa limeitaka tume ya maadili na kukabiliana na ufisadi nchini EACC kuanzisha uchunguzi kuhusu madai ya ufujaji wa fedha za umma katika serikali ya kaunti hiyo ya kima cha shilingi bilioni. Likiongozwa na mwenyejiti Salim Kuza pamoja na msemaji wa vuguvugu hilo Michael Nato linasema ni lazima uchunguzi […]



