SENETA MTEULE KAUNTI YA MOMBASA AWAHIMIZA WENYEJI KUPANDA MITI KWA WINGI
Seneta mteule kaunti ya Mombasa Miraj Abdillahi ametoa wito kwa wenyeji wa kaunti hiyo kupanda miti kwa wingi ili kulinda mazingira pamoja na kuzuia kushuhudiwa kwa hali ya ukame miaka ijayo. Miraj amesema mpango huo ambao ulianzishwa na rais William Samoei Ruto unapaswa kuungwa mkono na kuendelezwa ili kudhibiti taifa hili dhidi ya kukabiliwa na […]
SENETA MTEULE KAUNTI YA MOMBASA AWAHIMIZA WENYEJI KUPANDA MITI KWA WINGI Read More »



