ARGENTINA WASHINDA KOMBE LA DUNIA BAADA YA MIAKA 36
Timu ya taifa ya Argentina ndio timu ya kwanza kutoka Marekani Kusini kushinda kombe la dunia tangu mwaka 2002 baada ya Brazil kufanya hivyo. Argentina jana walishinda ubingwa wao wa tatu baada ya miaka 36 na huo ndio ubingwa wa kwanza kabisa wa nyota wa klabu ya paris sg kushinda ikizingatiwa kwamba mashindano ya mwaka […]
ARGENTINA WASHINDA KOMBE LA DUNIA BAADA YA MIAKA 36 Read More »



