Tonny Ngala

AFISA WA DCI AFIKISHWA MAHAKAMANI KAUNTI YA KILIFI KWA MADAI YA UBAKAJI.

Afisa wa polisi wa kitengo cha DCI kaunti ndogo ya Magarini kaunti ya Kilifi amefikishwa mbele ya mahakama ya Kilifi kwa shutma za kumnajisi mtoto katika eneo hilo. Afisa huyo kwa jina George Nangoye amekana mashtaka matatu mbele ya hakimu mkuu mkaazi Geofrey Kimang’a. Mashtaka hayo yanajumuisha kosa la kumnajisi msichana wa miaka 16 mnamo […]

AFISA WA DCI AFIKISHWA MAHAKAMANI KAUNTI YA KILIFI KWA MADAI YA UBAKAJI. Read More »

WIZARA YA MADINI YATANGAZA KUBORESHA SHUGHULI ZA KUTOA LESENI ZAKE.

Waziri wa madini na uchumi wa baharini Salim Mvurya amesema kuwa wizara hiyo imeweka mikakati ya kuhakikisha kuwa mvutano unaogubika sekta ya madini kule Voi na Kishushe kaunti ya Taita taveta unapata suluhu ya haraka. Akizungumza baada ya kufanya ziara yake kaunti hiyo, Mvurya amehoji kuwa wizara hiyo inanuia kuweka mazingira bora ya kibiashara katika

WIZARA YA MADINI YATANGAZA KUBORESHA SHUGHULI ZA KUTOA LESENI ZAKE. Read More »

GAVANA WA KAUNTI YA LAMU ISSA TIMAMU AWATAKA WAVUVI WALIOTIWA MBARONI KUACHILIWA HURU.

Gavana wa Lamu Issa Abdallah Timammy ameitaka idara ya mahakama kufutilia mbali mashtaka dhidi ya wavuvi walioshikwa baada ya kunaswa na nyavu zilizopigwa marufuku kutumika. Timammy ameahidi kuwa serikali ya kaunti ya Lamu itawanunulia vifaa vya uvuvi hitajika ila kwanza, ni sharti wavuvi hao waachiliwe huru ili waweze kujiendeleza kiuchumi kupitia shughuli zao za uvuvi.

GAVANA WA KAUNTI YA LAMU ISSA TIMAMU AWATAKA WAVUVI WALIOTIWA MBARONI KUACHILIWA HURU. Read More »