Paps Mkare

KOMBE LA DUNIA NCHINI QATAR LILINOGA – GIANNI INFANTINO

Mashindano ya dunia ya nchini Qatar ya mwaka huu ndio mashindano yaliyofana zaidi katika historia ya mchezo huo tangu mashindano ya kwanza nchini Uruguay miaka 92 iliyopita. Hiyo ni kulingana na rais wa shirikisho la soka kimataifa la fifamwite Gianni Infantino. Anasema kwamba kwa kipindi cha takriban mwezi mmoja mashabiki kote ulimwenguni wametosheka na burudani […]

KOMBE LA DUNIA NCHINI QATAR LILINOGA – GIANNI INFANTINO Read More »

ARGENTINA YAPANDA HADI NAFASI YA PILI, BRAZIL IKISALIA KILELENI ‘FIFA RANK’

Timu ya taifa ya Argentina baada ya kushinda kombe la dunia Qatar sasa imekwea hadi nafasi ya pili katika viwango vya fifa maarufu kama ‘fifa rank’ ambapo timu ya taifa ya Brazil iliyotolewa katika hatua ya robo fainali ya mashindano ya kombe la dunia yaliyotamatika siku ya Jumapili wakishika nafasi ya kwanza. Ufaransa imepanda hadi

ARGENTINA YAPANDA HADI NAFASI YA PILI, BRAZIL IKISALIA KILELENI ‘FIFA RANK’ Read More »