HABARI

WANASIASA NCHINI KENYA WAONYWA DHIDI YA KUZINGATIA SIASA NA KUSAHAU MAENDELEO.

Naibu wa Rais Profesa Kithure Kindiki amewataka viongozi wa kisiasa mashinani, kuweka kando tofauti zao za kisiasa na badala yake, kuendeleza mazungumzo ya kuboresha maendeleo ya jamii. Kindiki ambaye alikuwa akizungumza kwenye kikao na viongozi wa kaunti ya Meru, katika makaazi yake jijini Nairobi, amewaonya wanasiasa nchini dhidi ya kuchukiana kwa misingi ya siasa, baada […]

WANASIASA NCHINI KENYA WAONYWA DHIDI YA KUZINGATIA SIASA NA KUSAHAU MAENDELEO. Read More »

WANAHARAKATI KAUNTI YA KWALE WALALAMIKIA ONGEZEKO LA MAGENGE YA KIUHALIFU.

Wazazi eneo la Kinango kaunti ya Kwale wametakiwa kuchunguza mienendo ya wanao mitaani, ili kuwasaidia kuepuka kujiunga na makundi ya kiuhalifu. Haya ni kwa mujibu wa mwanaharakati wa kijamii katika eneo hilo Juma Banda, ambaye amelalamikia ongezeko la idadi ya makundi ya kiuhalifu katika eneo hilo. Banda amesema kuwa hatua hiyo, imeendelea kutishia usalama wa

WANAHARAKATI KAUNTI YA KWALE WALALAMIKIA ONGEZEKO LA MAGENGE YA KIUHALIFU. Read More »

WATALI 15 WAHUSIKA KWENYE AJALI ENEO LA NYALI KAUNTI YA MOMBASA.

Zaidi ya watalii 15 wanauguza majeraha tofauti baada ya basi walilokuwa wameabiri kuhusika kwenye ajali katika eneo la Nyali kaunti ya Mombasa. Kulingana na walioshuhudia ajali hiyo, basi hilo lililokuwa limetoka katika eneo la lights lilipoteza mwelekeo na kugonga lori sehemu ya nyuma na kisha kugonga nguzo ya umeme. Majeruhi wamefikishwa hospitalini kwa matibabu. Polisi

WATALI 15 WAHUSIKA KWENYE AJALI ENEO LA NYALI KAUNTI YA MOMBASA. Read More »