HABARI

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI

Serikali ya kaunti ya Kilifi imetakiwa kukamilisha miradi ya maendeleo iliyokosa kutekelezwa katika miaka ya hapo awali, licha ya serikali ya kaunti kuitengea fedha katika bajeti ya miaka iyopita, tangu kuanzishwa kwa ugatuzi. Wakizungumza katika kikao cha Kilifi Citizen Forum ili kupendekeza miradi ya maendeleo katika bajeti ya mwaka wa kifedha wa 2022/2023, wanaharakati wa […]

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI Read More »

MAINA NGUNYI ASEMA SERIKALI KUU INASHIRIKIANA NA YA TAITA TAVETA

Naibu kamishna eneo la Wundanyi kaunti ya Taita Taveta Maina Ngunyi amesema serikali kuu inashirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha inakabiliana na janga la Ukame. Kulingana na Ngunyi vyanzo vingi vya maji vimekauka hali ambayo imekuwa ikisababisha wenyeji kutembea mwendo mrefu kusaka maji safi ya matumizi. Amesema hali hiyo ya kukauka kwa vyanzo vya maji kunawapa

MAINA NGUNYI ASEMA SERIKALI KUU INASHIRIKIANA NA YA TAITA TAVETA Read More »

DAN MWASHAKO ASEMA BAADHI YA MAWAZIRI WATEULE HAWANA TAJRIBA YA KUTOSHA

Mbunge wa Wundanyi kaunti ya Taita Taveta Dan Mwashako amesema baadhi ya mawaziri wateule waliohojiwa na kamati ya uteuzi katika bunge la kitaifa baada ya kupendekezwa na rais William Samoei Ruto hawakuwa na tajriba ya kutosha kama inavyopaswa kulingana nafasi hizo za uwaziri. Mwashako amesema ni lazima anayeteuliwa kuwa waziri awe na ufahamu wa kina

DAN MWASHAKO ASEMA BAADHI YA MAWAZIRI WATEULE HAWANA TAJRIBA YA KUTOSHA Read More »