JUMLA YA WATAHINIWA 32,276 WANASHIRIKI MTIHANI WA KITAIFA WA TAALUMA MBALIMBALI KWENYE MAMLAKA YA NITA
Waziri wa leba nchini Florence Bore amesema jumla ya watahiniwa 32,276 wanashiriki mtihani wa kitaifa wa taaluma mbalimbali kwenye Mamlaka ya Kitaifa ya Mafunzo ya Viwanda ( NITA) na wanafunzi 500 wakiwa ni wa kutoka kanda ya pwani. Katika taarifa yake kwa wanahabari akiwa kaunti ya Mombasa amesema idadi hiyo ni ongezeko la asilimia 45.2 […]



