HABARI

IDADI KUBWA YA KINA MAMA YADAIWA KUTOHUDHURIA VIKAO VYA KUTOA MAONI

Idadi kubwa ya akina mama kaunti ya Kilifi inadaiwa kutohudhuria vikao vya kutoa maoni kuhusiana na miradi ya serikali ya kaunti, kutokana na kile ambacho kinadiwa nakala zinazotumika katika vikao hivyo huchapishwa kwa lugha ya kingereza. Haya ni kwa mujibu wa mwanaharakati wa kutetea haki za watoto pamoja na wanawake kaunti ya Kilifi, Helda Lamek […]

IDADI KUBWA YA KINA MAMA YADAIWA KUTOHUDHURIA VIKAO VYA KUTOA MAONI Read More »

WAFANYABIASHARA WA MIRAA KAUNTI YA MOMBASA WAONYWA

Gavana wa Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir amewaonya wafanyibiashara wote wa miraa kaunti ya mombasa kuhakikisha kuwa hawafanyibiashara hizo karibu na taasisi za kielimu. Akizungumza katika sherehe za Jamhuri kwenye bustani ya Mamangina kaunti hiyo ya Mombasa Nassir amesema vijana wengi wenye umri mdogo wameishia kuwa waraibu wa bidhaa hiyo licha ya kuwa wao bado ni

WAFANYABIASHARA WA MIRAA KAUNTI YA MOMBASA WAONYWA Read More »

HIMIZO LATOLEWA KWA WAZAZI ENEO LA HINDI KUFUATILIA MIENENDO YA WATOTO WAO

Afisa ambaye anashughulikia masuala ya dhuluma za kijinsia kwenye kituo cha Polis cha Hindi kaunti ya Lamu Esther Jeffa ametoa wito kwa wazazi eneo hilo kufuatilia mienendo ya watoto wao hasa wakati huu wako kwenye likizo ndefu ya mwezi Disemba. Amesema wazazi wanapaswa kuwa karibu na watoto wao ili kuwadhibiti dhidi ya visa vya dhuluma

HIMIZO LATOLEWA KWA WAZAZI ENEO LA HINDI KUFUATILIA MIENENDO YA WATOTO WAO Read More »