HABARI

GAVANA DHADHO GODHANA APONGEZA KONGAMANO LA NNE LA UCHUMI WA RASLIMALI ZA BAHARINI

Gavana wa kaunti ya Tana River Dhadho Godhana amesema kongamano la nne la uchumi wa raslimali za baharini limekuwa lenye manufaa mengi. Kulingana na Dhadho kongamano hilo la siku tatu ambalo lilikamilika siku ya Jumamosi eneo la Hola kaunti ya Tana River limewavutia washiriki wa kitaifa na kimataifa. Amesema kongamano hilo limetoa fursa nzuri za […]

GAVANA DHADHO GODHANA APONGEZA KONGAMANO LA NNE LA UCHUMI WA RASLIMALI ZA BAHARINI Read More »

KASSIM SAWA TANDAZA AKOSOA HALI YA KUCHELEWESHWA KWA MALIPO YA WANAKANDARASI KAUNTI YA KWALE

Mbunge wa Matuga kaunti ya Kwale, Kassim Sawa Tandaza amekosoa hali ya kucheleweshwa kwa malipo ya baadhi ya wanakandarasi wanaotekeleza kandarasi ambazo wanapewa na serikali ya kitaifa. Tandaza ambaye alikuwa akizungumza bungeni alipokuwa akiunga mkono sheria ya usimamizi wa fedha za umma, ametaka mradi wa Dongo Kundu ambao umebakisha asilimia 6 kukamilika ila mwanakandarasi hajalipwa

KASSIM SAWA TANDAZA AKOSOA HALI YA KUCHELEWESHWA KWA MALIPO YA WANAKANDARASI KAUNTI YA KWALE Read More »

SENETA DANSON MUNGATANA AITAKA JUMUIYA YA KAUNTI ZA PWANI KUWEKEZA TANA RIVER

Seneta wa kaunti ya Tana River  Danson Mungatana ameitaka jumuiya ya kaunti za pwani kuwekeza pakubwa katika kaunti ya Tana River kama vile inavyowekeza katika kaunti zengine ukanda wa pwani. Akizumgumza mjini Hola kaunti ya Tana River kwenye kongamano la nne la uchumi wa raslimali za baharini (BLUE ECONOMY) Mungatana amesema kunapaswa kuwa na miradi

SENETA DANSON MUNGATANA AITAKA JUMUIYA YA KAUNTI ZA PWANI KUWEKEZA TANA RIVER Read More »