HABARI

VIJANA WENYE UMRI MDOGO KAUNTI YA MOMBASA WANAJIHUSISHA NA VISA VYA UHALIFU

Naibu Kamishna wa kaunti ya Mombasa Ronald Mwiwawi amesema vijana wadogo kwenye kaunti wamekuwa wakijihusisha na visa vya Uhalifu. Kulingana na Mwiwawi Kumechipuka magenge ya kihalifu ambayo yanawahusisha vijana wadogo katika kaunti hiyo hali ambayo amesema inawasababisha kuacha masomo. Amesema watoto hao ni wenye umri wa miaka 10 hadi 12 na kusema wanapaswa kuwa shuleni […]

VIJANA WENYE UMRI MDOGO KAUNTI YA MOMBASA WANAJIHUSISHA NA VISA VYA UHALIFU Read More »

UGAVI WA CHAKULA CHA MSAADA WAANZISHWA NA SERIKALI YA KAUNTI YA KWALE

Serikali ya kaunti ya Kwale imeanzisha ugavi wa chakula cha msaada kwa watu wenye uatilifu, wajane na mayatima. Ni hatua ambayo inajiri wakati ambapo baa la njaa linaendelea kuwakabili takribani wenyeji laki 2 katika kaunti ya Kwale kutokana na ukosefu wa mvua kwa muda mrefu. Mwakilishi wa kike kaunti ya Kwale Fatuma Masito na mshirikishi

UGAVI WA CHAKULA CHA MSAADA WAANZISHWA NA SERIKALI YA KAUNTI YA KWALE Read More »

NAIBU GAVANA WA LAMU AMEWAHAKIKISHIA WENYEJI WA MARARANI HUDUMA BORA ZA MAJI

Naibu Gavana wa kaunti ya Lamu Rapahel Munyua amewahakikishi wenyeji wa Mararani eneo bunge la Lamu Mashariki huduma bora za maji kutoka katika serikali ya kaunti ya Lamu. Akizungumza katika eneo hilo la Mararani amesema serikali itaanzisha zoezi la ugavi wa dawa za kuyasafisha maji wanayoyatumia wenyeji ili kudhibiti magonjwa mbalimbali yanayotokana na maji chafu.

NAIBU GAVANA WA LAMU AMEWAHAKIKISHIA WENYEJI WA MARARANI HUDUMA BORA ZA MAJI Read More »