WANAOJIUNGA NA SHULE ZA UPILI WATAKIWA KUTOCHAPISHA FOMU KUHUSIANA NA SHULE WANAZOPASWA KUJIUNGA NAZO KAMA HAWARIDHISHWA
Wazazi wa wanafunzi wanaopaswa kujiunga na shule za upili mwaka huu wa 2023 wametakiwa kutochapisha fomu zilizo na taarifa kuhusiana na shule wanazopaswa kujiunga nazo, iwapo hawana uwezo ama hawajaridhishwa na taasisi hizo na badala yake waziwasilishe katika afisi za elimu kwenye maeneo yao. Haya ni kwa mujibu wa katibu wa muungano wa walimu wa […]



