Michezo

KENYA SHUJAA KUMENYANA NA TONGA, INJERA AKIJUMUISHWA KWENYE KIKOSI

Timu ya raga ya Kenya Sevens inatarajia kutumia mtindo wao walioutumia katika nusu-fainali ya mwaka 2013 watakapoanza kampeni ya Kombe la Dunia la Raga ya wachezaji saba kila upande (2022 Rugby World Cup Sevens) kwa mechi ya kabla ya raundi ya 16 dhidi ya Tonga leo nchini Afrika Kusini. Shujaa ilimaliza katika nafasi ya nne

KENYA SHUJAA KUMENYANA NA TONGA, INJERA AKIJUMUISHWA KWENYE KIKOSI Read More »